Natafuta mke

De-zerbi

Member
Joined
Mar 7, 2024
Posts
82
Reaction score
103
Kama kisemavyo kichwa cha habari natafuta mke awe na sifa zifuatazo
  • Awe na umri miaka 25 mpaka 28
  • Awe mkristo ila sio msabato
  • Elimu-degree yeyote
  • Akubali kwenda kupima group la damu, hivi na baada ya miezi mitatu tutapima tena hiv bila ya kukutana kimwili
  • Awe anaishi Dar sababu mimi mwenyewe naishi Dar
  • Asiwe kinonge
  • Kabila lolote
Wale watu wa-masihara nawaombeni msiniharibie uzi
 
  • awe na umri miaka 25 mpaka 28
  • Awe mkristo ila sio msabato
  • Elimu-degree yeyote
  • Akubali kwenda kupima group la damu, hiv na baada ya miezi mitatu tutapima tena hiv bila ya kukutana kimwili
  • Awe anaishi dar sababu mimi mwenyewe naishi dar
  • Asiwe kinonge
  • Kabila lolote
Ongezea:

  • Awe na kazi
  • Awe na mtoto
 
Single mother ungeweka wazi kama unawahitaji au lah maana ndo wapo wengi wenye uhitaji, haha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…