Sawa Mzee,hatukuharibiimashihara
Changamka weweikawe heri kwako
sipo dar,sina degree yoyote,sjafka 25,......sina sifa kifupi😂😂😂Changamka wewe
bila kutunanga huwezi 🤣😂Single mother ungeweka wazi kama unawahitaji au lah maana ndo wapo wengi wenye uhitaji, haha
Ila uhitaji unao, uongo mwanangu..? Hahasipo dar,sina degree yoyote,sjafka 25,......sina sifa kifupi😂😂😂
Sijaweka naachia nature iamue tuSingle mother ungeweka wazi kama unawahitaji au lah maana ndo wapo wengi wenye uhitaji, haha
Nyie mmetulingia sana enzi zenu za usista du, hahabila kutunanga huwezi 🤣😂
hakika sina yaani hata mafikirio hayapo,,nilikimbilia izo vitu wacha nipumue kdogo nje uku hahahaIla uhitaji unao, uongo mwanangu..? Haha
woooiii na bado tunaringa aseeeNyie mmetulingia sana enzi zenu za usista du, haha
Team kataa ndoa wakiona hivi, wanafurahi sanahakika sina yaani hata mafikirio hayapo,,nilikimbilia izo vitu wacha nipumue kdogo nje uku hahaha
Amen kila la kheri kwake
nawewe ukiwepo🤣Team kataa ndoa wakiona hivi, wanafurahi sana