Natafuta mke

sipo dar,sina degree yoyote,sjafka 25,......sina sifa kifupi😂😂😂
Kama una uhitaji wa mume we jaribu tu hata sisi tunapofanya application ya kazi katika qualifications kuna vigezo vingi tu huwa hatuna na tunatuma maombi tu kibishi
 
Kama una uhitaji wa mume we jaribu tu hata sisi tunapofanya application ya kazi katika qualifications kuna vigezo vingi tu huwa hatuna na tunatuma maombi tu kibishi
sihitaji mume wala mchumba wala mpenz wala rafiki
 
kwa ambao hawajui watakula na kuvaa nini na watoto wao,,ila kwa mimi Mungu ni mwema
Na nyie mnaojiweza ndo wazuri sasa, maringo huwa yanaisha mapema kuliko hawa wavaa vijola
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…