Natafuta mke

Natafuta mke

sipo dar,sina degree yoyote,sjafka 25,......sina sifa kifupi😂😂😂
Kama una uhitaji wa mume we jaribu tu hata sisi tunapofanya application ya kazi katika qualifications kuna vigezo vingi tu huwa hatuna na tunatuma maombi tu kibishi
 
Kama una uhitaji wa mume we jaribu tu hata sisi tunapofanya application ya kazi katika qualifications kuna vigezo vingi tu huwa hatuna na tunatuma maombi tu kibishi
sihitaji mume wala mchumba wala mpenz wala rafiki
 
Back
Top Bottom