Saivi hamsumbui sana. Mmekuwa watu wazima, majukumu yanawa shape kiasi chakewoooiii na bado tunaringa aseee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saivi hamsumbui sana. Mmekuwa watu wazima, majukumu yanawa shape kiasi chakewoooiii na bado tunaringa aseee
Kama una uhitaji wa mume we jaribu tu hata sisi tunapofanya application ya kazi katika qualifications kuna vigezo vingi tu huwa hatuna na tunatuma maombi tu kibishisipo dar,sina degree yoyote,sjafka 25,......sina sifa kifupi😂😂😂
kwa ambao hawajui watakula na kuvaa nini na watoto wao,,ila kwa mimi Mungu ni mwemaSaivi hamsumbui sana. Mmekuwa watu wazima, majukumu yanawa shape kiasi chake
Haha, mitandaoni nikiongea matano, yashike mawili. I am here for jokes basinawewe ukiwepo🤣
sihitaji mume wala mchumba wala mpenz wala rafikiKama una uhitaji wa mume we jaribu tu hata sisi tunapofanya application ya kazi katika qualifications kuna vigezo vingi tu huwa hatuna na tunatuma maombi tu kibishi
Na nyie mnaojiweza ndo wazuri sasa, maringo huwa yanaisha mapema kuliko hawa wavaa vijolakwa ambao hawajui watakula na kuvaa nini na watoto wao,,ila kwa mimi Mungu ni mwema
kila mtu anajua huu ni ulimwengu wa jokesHaha, mitandaoni nikiongea matano, yashike mawili. I am here for jokes basi
Better for them.kila mtu anajua huu ni ulimwengu wa jokes
sio kwamimi nkitaka ndoa hata kesho shwaaaaNa nyie mnaojiweza ndo wazuri sasa, maringo huwa yanaisha mapema kuliko hawa wavaa vijola
Na hili mkalitazame, hahasio kwamimi nkitaka ndoa hata kesho shwaaaa
msikariri bwana🤣Na hili mkalitazame, haha