natafuta mke

mshana org

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2012
Posts
2,091
Reaction score
619
habari jf.mimi ni kijana umri wangu kati ya 26-30 natafuta mke wa kuoa awe muislam mwenye heshima awe anaswali walau hata ijumaa.awe na upendo wa dhati pia awe anajua nini maana ya maisha sio awe wa kuweka starehe mbele.umri wake 19 -25 sichagui kabila wala elimu.plc niko serouse.aliyoko tayari anaweza kuni pm.au kutumia email.
Saidi49@ymail.com
 
mkuu mke mwema wa kuoa hatafutwi kwenye keyboard. Naomba nikuondoe haya mawazo mgando mwanamke wa kuoa hatafutwi kwa matangazo usiifanye biashara. Mwanamke wa kuoa huja kwenye mazingira ambayo wewe huwezi kutegemea, wanawake wa kwenye keyboard utawapata wale ambao wameshatumika sana kwa hiyo wanaona mda wao wa kuolewa umefika kwa hiyo watapretend kwa kila kitu
 

Nashukuru mkuu.ushauri wako nimzuri ila nimefikia hatua hii sikua napenda ila nimeshajaribu kutafuta kwenye mazingira ninayoish lakini kwa bahati mbaya kila ninayempata nakuona labda atakua ndiye anakuja kuniumiza kabla hata ya kufikia lengo yani kama hatakua kicheche.anakua amekuja kuvuna kwangu.kitu ambacho silengo langu.ndio maana nikaona nijaribu huku labda riziki yangu mungu kaiweka humu.
 
CV yako haijakamilika Said, unafanya kazi gani. Ningekupm lakini umri umekimbia
 
Mkuu utapata mke kweli wakati hata umri wako huna uhakika nao? 26 - 30 ndiyo una maana gani???
 
CV yako haijakamilika Said, unafanya kazi gani. Ningekupm lakini umri umekimbia

Unataka cv gani.swala lakazi sidhani kama linauhusiano na mapenzi au ndoa coz inamaana unataka kujua maisha ninayoish ndio unikubali?je hapo utakua umenipenda mimi au kipato changu?ndio maana hata mimi sijesema nataka mwenye kazi fulan au elim flan.hii haina maana kua mm hizo cv sina ila nahtaji mke kwavigezo hivyotu.hayo mengine nitayapata badae au yeye atayapata badae.ukitaka kazi yangu ni mp nitakwambia ila sihapa
 
Umeshajenga? unagari? una savings account? unapenda kwenda nje ya nchi holiday?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…