mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 619
habari jf.mimi ni kijana umri wangu kati ya 26-30 natafuta mke wa kuoa awe muislam mwenye heshima awe anaswali walau hata ijumaa.awe na upendo wa dhati pia awe anajua nini maana ya maisha sio awe wa kuweka starehe mbele.umri wake 19 -25 sichagui kabila wala elimu.plc niko serouse.aliyoko tayari anaweza kuni pm.au kutumia email.
Saidi49@ymail.com
Saidi49@ymail.com