Natafuta Mke

Natafuta Mke

Wakuu,

Natafuta mke,umri kuanzia miaka 18 hadi 23, mwenye umri huo ani pm tuyajenge tutaelewana

Naomba kuwasilisha.
DUuh pole nikuonyesha jinsi gani ulivyokata tamaa ya wanawake umeamua kujitupa mtoni liwalo na liwe utapata bhn
 
Naona watu hamtaki kuni pm ko tuseme wote ni mishangazi kama Mshangazi aliyepigwa ban?
 
Back
Top Bottom