Salam! natafuta mke wa kuoa, awe mnene,hata akiwa na mtoto mmoja sio mbaya, umri usipungue miaka 30 kwenda juu ,mkristu, mimi nina miaka 36 kwa sasa, nina mtoto mmoja wa kiume, nafanya kazi Arusha. Please only Serious ladies kama unaleta utani tafadhali usiwasilaine nami.