Natafuta Mke

Natafuta Mke

hahaaaa umenichekesha ad nkapaliwa!!! Mweeeh...
Kweli upo siriasi..

Asa we elimu na sura ya 8(naipatia picha siielewi)
we vyanini ivooo???kuna wene masters ila hovyo tuu..kama kina so called zilipendwa wa Juma necha!!

Kiruu Akhu babu ngoja nilipe kwanza ada ya mama Swts,..
wewe niPM tuongee, kama hiyo avatar yako ndio wewe, wala usihofu-umepita
 
Najua una vigezo vyote ninavyotaka ila unanibania. Kitu cha kawaida kwangu siyo lazima kiwe hivyo kwako. Kwa uze wangu huu muda wa kumtengeneza umekwisha. Siyo wote wenye vigezo ninavyotaka wameishachukuliwa, Nitakomaa na nyie huku huku JF mpaka mnikubali
aisee mimi nina certificate ila unaweza kunisomesha hadi masters!
 
Mtu mwenyewe ukute ni form six halafu unataka mke mwenye Masters, si unajitafutia pressure tu we mwanakwetu.
 
Back
Top Bottom