kindili kindili
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 242
- 54
Katika mahangaiko ya maisha wandugu, nishapoteza laki 2 zinaniuma kinoma ila sijakataa tamaa naombeni mwenye kujua wapi ntapata mkopo wa masharti nafuu sana sina nyumba wala kiwanja wa kazi yangu ya muhindi haiwezi kunidhamini, any other way lakini pia nina akiba mil 2, je ninunue kijiasset kinachoweza nidhamini? kama kiasset kipi? majanga juu yake majanga, ninahitaji 5M
Wasalam, msakatonge na jua la dasilamu
Wasalam, msakatonge na jua la dasilamu