Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza post mti wake!!?Hello Habari!
Mwenye connection na wakulima wa Pili pili kichaa zile kali fupi nyekundu aina ya African Birds Eye chill (ABE).
Please naomba unicheki.
Hizi zinapatikana zaidi Mkoa wa Ruvuma
Hata Dodoma zipoHizi zinapatikana zaidi Mkoa wa Ruvuma
Mcheki huyu wa Dodoma 0758424220Hello Habari!
Mwenye connection na wakulima wa Pili pili kichaa zile kali fupi nyekundu aina ya African Birds Eye chill (ABE).
Please naomba unicheki.
Zitakuwwa imported, sidhani kama zinalimwa hapa DomHata Dodoma zipo
Zinalimwa mkuu!kuna sms hapo juu nimemtumia namba ya anaelims Dodoma,Zitakuwwa imported, sidhani kama zinalimwa hapa Dom
OkayZinalimwa mkuu!kuna sms hapo juu nimemtumia namba ya anaelims Dodoma,
Nipe bei kwa kil na muda nikulimue kuanzi mwezi May.Zinahitajika tani 7 mkuu! Ndo nilipenda kupata muda gani zinakua tayari na bei yake kwa Kg toka kwa mkulima.
Zina anza kuzaa miezi mitatu (3 months) tangu kumwaga kwenye kitalu.Zinahitajika tani 7 mkuu! Ndo nilipenda kupata muda gani zinakua tayari na bei yake kwa Kg toka kwa mkulima.
Kigoma zinalimwa sana mkuu hizo nicheki PMZinalimwa mkuu!kuna sms hapo juu nimemtumia namba ya anaelims Dodoma,