Natafuta mme aliye serious

Natafuta mme aliye serious

Ni mwanamke mwenye umri wa miaka 30

Kazi yangu mwl...natafuta mwanaume aliye tayari tufunge ndoa kuanzia 30yrs hadi 45

Awe muislamu na mapenzi ya dhati!

Aliye tayari aje Pm

Ahsante!
Umri wangu mbona unachelewa kwenda mbele,Daaaaah umri kwangu ni janga la taifa
 
Back
Top Bottom