habari zenu wana jf,mimi ni msichana umri miaka 30, ni mwajira kwenye kampuni hapa dar, natafuta mme mwenye sifa zifuatazo,awe mkristo,elimu kuanzia degree i na kuendelea,umri kuanzia 32- 40.mwenye sifa tuwasiliane
nenda face book humu hutapata am sure, kwanza humu wengi id zao sio halisi tofauti na facebook, alafu face book watu wanaweka hadi picha halisi, ila ukubali kuliwa kwanza then utapata momoja atakolea ataowa