habari zenu wana jf,mimi ni msichana umri miaka 30, ni mwajira kwenye kampuni hapa dar, natafuta mme mwenye sifa zifuatazo,awe mkristo,elimu kuanzia degree i na kuendelea,umri kuanzia 32- 40.mwenye sifa tuwasiliane
Hivi usichana na uvulani unaishiaga miaka mingapi kwa anaefahamu tafadhali[/QUO
Kikawaida ni miaka 35. Lakini mwanamke akisha zaa tu hata kama ana miaka 18 bas huyo tayari ni MAMA.
habari zenu wana JF,mimi ni msichana umri miaka 30, ni mwajira kwenye kampuni hapa dar, natafuta mme mwenye sifa zifuatazo,awe mkristo,elimu kuanzia degree i na kuendelea,umri kuanzia 32- 40.mwenye sifa tuwasiliane
32 - 40 wengi washaoa, waliobaki baki vimeo
Hujui hilo??? Nena kanisani kwenu, hukosi mwanakwaya
asante
30 yrs umetumika sana ila waweza kunifaa mimi 41yrs but divorced
Mbona mi nina umri huo, Sijaoa na wala sio Kimeo?
Muache atafute tu, atatupata tu one day!!
kila lakheri dadangu,
hapa ndio kwenyewe utapata.
usikatishwe tamaaa na hao wanao-joke!
Poa tutawasiliana.habari zenu wana JF,mimi ni msichana umri miaka 30, ni mwajira kwenye kampuni hapa dar, natafuta mme mwenye sifa zifuatazo,awe mkristo,elimu kuanzia degree i na kuendelea,umri kuanzia 32- 40.mwenye sifa tuwasiliane