NYEKUNDU YA BIBI
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 2,301
- 2,977
Sio bwana
Watu wengi mnakariri
Kuzaa ni majaliwa
Wapo wengi waliotoa mimba zaidi ya 5 Yaani mama marehemu.Ni naonaga mdada anayezaa anajitambua Mana kwanza anajiwekea legacy mbele
Mtoto anafariji mtoto ni Kinga ya mbele kuliko wanaotoa mimba .Halafu Na wewe unakuja kujidanganya kwamba nimeoa asiyena mtoto
Anayezaa ni.bora.Kwanza hana dhambi ya kuua kiumbe cha Mungu .
We mdada unaonekana una Busara sana, big up kwakomnaosema asubiri kidogo mwanae akue,siafiki na nyie ,mtoto anahitaji malezi ya baba na mama,so akimpata na kuishi wote mapema ndivyo watakavyojenga bond pamoja,wengi mnadhania labda anatafuta mtu wa kumsaidia kiuchumi,naamini kuna wanaume kibao wako tayari kusaidia familia zao bila hiyana nadhani ndio anatafuta mtu kama huyu.............
Wanadhani ni wewe kwenye avatarWatafutaji wengi humu mnazingua tangu nimeanza kuwafata pm hakuna hata mmoja ambaye amewahi kueleweka hivi mnataka wanaume wa namna gani kwamfano
Umeongea vizuri sana Mkuu vinginevyo atapata mimba nyingine na njemba kuingia mitini.
Wanadhani ni wewe kwenye avatar
Anawahi wanaumeSiungesubiri mtoto aache ziwa kwanza ??miezi 6 sibado unanuka maziwa ?haraka yanini ?..
Karibu kwangu. Mimi pia nina mke na ameniambia nitafute mke mwingine ili muwe wawili.Mie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miezi 6, nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na isitoshe ameoa mwanamke mwingine. Kwa hiyo atakae kuwa tayari kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari.
Mwanaume ktk ubora wakeIwe nikweli au lah.
Mimi naitaji kua rafiki yako , napenda tu watoto .ivo kubadilishana mawazo nachangamoto inaweza kua sehem nzuri kwako nakwangu.
Una churaaa???Mie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miezi 6, nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na isitoshe ameoa mwanamke mwingine. Kwa hiyo atakae kuwa tayari kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari.
Mie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miezi 6, nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na isitoshe ameoa mwanamke mwingine. Kwa hiyo atakae kuwa tayari kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari.