Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu vipi hatikipata update za dada wa NMB
mkuu bado unamkumbuka?tuliamua kujitoa ufahamu,mimi,wife,mama mwenye nyumba na wapangaji wengine wawili,alipoanza tu kupiga mayowe yake hayo tukamgongea dirisha na mlango,alinyamaza kwa muda kisha akafungua,tulimwambia kuwa hata sisi huwa tunaduu lakini sio iwe kero kwa wengine.hatuhutaji kelele za aina hiyo.ni kama wiki na nusu sasa sijamuona tena hata yule mshikaji wake,labda huwa wanaduu sehemu nyingine.ila heshima imekuwepo
Ila kimoyo moyo unamiss makelele yake, maana ni kama chabo ya masikio, sema tu waifu akiwa around inazingua.
Tuwasiliane tupunguze stress! Serious !
Hapana sikuondoka bado niko na mume wangu kuna mabadiliko nayaona nampenda sana mume wangu.
Ngoja ukutane na mmeo humu. Unajua atakayeku-pm ni nani? Utashangaa na roho yako siku utakayofanya appointment ya kukutana na huyo mme wa mtu halafu unajikuta unakutana na mmeo. Utalia na kusaga meno!