sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,988
- 4,152
Picha yako tafadharinili tuje PMHabari zenu wana ndugu, mimi ni mdada wa miaka 32 nina mtoto ninatafuta mume, elimu yangu ya chuo, mkristo. Nina tafuta mume wakunioa awe mcha mungu, na awe anajishughulisha/kitu chakumuingizia kipato umri uanza miaka 32-40. Ila awe tayari kunikubali na kunipenda mimi na mwanangu.
For more details come to PM
Hiyo kudhan ndo tatizo kubwa ktk ndoa, jiridhishe usiwe na haraka. Hakunaga mwanamke anaetafuta ndoa huwa wanatafuta maisha, na kulitakasa jina lake Kwamba haoleki sasa ameolewa. Hii ndo sifa wanazosaka kwa garama zozote... Nimebahatika kuzaa na madem wawili na bahati nzuri wameolewa. Wa kwanza alianza kunikumbuka baada miaka 4 ktk ndoa yake akanitengenezea mawasiliano. Wa pili alianza kunikumbuka baada ya miaka 3, akatengeneza mawasiliano nami. Hivo msidanganyike waliozaa hawaachanagi, labda kwa mda mchache lakin baadae hurudiana kisiri kubwa na usishangae mwenye mtoto nae anasomesha na kutoa huduma za mtt ndani kwako kwa siri. Ikiwa huyo baba mtt amefariki hapo umepata mke, mwoemkuu unanikatisha tamaa mkuu anaweza kua Mwanamke mwema huyu hebu ngoja tumsikilize Clanzy
Chuo gani cha veta au zayoniHabari zenu wana ndugu, mimi ni mdada wa miaka 32 nina mtoto ninatafuta mume, elimu yangu ya chuo, mkristo. Nina tafuta mume wakunioa awe mcha mungu, na awe anajishughulisha/kitu chakumuingizia kipato umri uanza miaka 32-40. Ila awe tayari kunikubali na kunipenda mimi na mwanangu.
For more details come to PM
Nimefuatilia reaction zako nyingi za siku hizi walahi you are not jje's i used to know!!....... Ni nini kimekutokea? Wewe ni jje's kweli? Account ya jje's imekuwa hacked??....... Nauliza maswali yote hayo kwa sababu zamani ulikuwa mwanamke mwenye haya na stahaa sana ila siku hizi umebadilika kidogo,i mean siku hizi umekuwa huru zaidi!hapa hupati jibu kabisa, ningeshauri atafute huko anakoenda kuabudu maana ndiko atakapopata wenye kumcha Mungu.
ni ushauri tu maana hapa kebehi nyingi zitakuwepo.
kuna kitu najiuliza for sure bila majibu.
Hivi watu wa namna hii wako serious kweli? it means wanakoishi hawajaona kabisa hadi waje humu JF?
seriously? mimi sina jibu kabisa naomba msaada.
Because of stunter behaviour weweee[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Nimefuatilia reaction zako nyingi za siku hizi walahi you are not jje's i used to know!!....... Ni nini kimekutokea? Wewe ni jje's kweli? Account ya jje's imekuwa hacked??....... Nauliza maswali yote hayo kwa sababu zamani ulikuwa mwanamke mwenye haya na stahaa sana ila siku hizi umebadilika kidogo,i mean siku hizi umekuwa huru zaidi!
Hujaacha tu kufuatilia muke ya stunter weweeeeNimefuatilia reaction zako nyingi za siku hizi walahi you are not jje's i used to know!!....... Ni nini kimekutokea? Wewe ni jje's kweli? Account ya jje's imekuwa hacked??....... Nauliza maswali yote hayo kwa sababu zamani ulikuwa mwanamke mwenye haya na stahaa sana ila siku hizi umebadilika kidogo,i mean siku hizi umekuwa huru zaidi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuna crisis ya taifa at the moment..mngesubiri kwanza
Aliyekuzalisha kashindwa kukupenda afu uje upendwe na mimi? Naanzia WAPI? Tafuta aliyefiwa na mke au ukaolewe mke wa pili.Habari zenu wana ndugu, mimi ni mdada wa miaka 32 nina mtoto ninatafuta mume, elimu yangu ya chuo, mkristo. Nina tafuta mume wakunioa awe mcha mungu, na awe anajishughulisha/kitu chakumuingizia kipato umri uanza miaka 32-40. Ila awe tayari kunikubali na kunipenda mimi na mwanangu.
For more details come to PM
Thats why i postAliyekuzalisha kashindwa kukupenda afu uje upendwe na mimi? Naanzia WAPI? Tafuta aliyefiwa na mke au ukaolewe mke wa pili.
Single mother you are too problematic..! Kesho kutwa tu ukigombana n naye unapenda kuliwa na mzazi mwenzio.Thats why i post
That's so called end of your thinking capacitySingle mother you are too problematic..! Kesho kutwa tu ukigombana n naye unapenda kuliwa na mzazi mwenzio.
Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Mkuu, waliopo humu Ndio wako mtaani.hapa hupati jibu kabisa, ningeshauri atafute huko anakoenda kuabudu maana ndiko atakapopata wenye kumcha Mungu.
ni ushauri tu maana hapa kebehi nyingi zitakuwepo.
kuna kitu najiuliza for sure bila majibu.
Hivi watu wa namna hii wako serious kweli? it means wanakoishi hawajaona kabisa hadi waje humu JF?
seriously? mimi sina jibu kabisa naomba msaada.
Haya sasa, mliokuwa mnauliza tabia ya muolewaji, tayari keshamtusi mchangiaji mojawapo. Wacha episode iendelee.! [emoji23] [emoji23]That's so called end of your thinking capacity
Kama huyo mtoto anahudumiwa 100% na baba yake njoo tuzozeHabari zenu wana ndugu, mimi ni mdada wa miaka 32 nina mtoto ninatafuta mume, elimu yangu ya chuo, mkristo. Nina tafuta mume wakunioa awe mcha mungu, na awe anajishughulisha/kitu chakumuingizia kipato umri uanza miaka 32-40. Ila awe tayari kunikubali na kunipenda mimi na mwanangu.
For more details come to PM