Natafuta mme

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hahaha. Nawachanganyia habari.
Unamchanganyia nani?
 
Signature gani?

Jj huwa anaushuka ung'eng'e ni vile tu haujajua. Sasa huyo mvurugaji kamuruga naona kikapanda vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haha
Hiyo ya nawachanganyia habari. Huwezi kuona kama unatumia app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haha
Hiyo ya nawachanganyia habari. Huwezi kuona kama unatumia app
Oooh!!
Kwanini sasa umeamua kutumia hiyo sign? Unamchanganyia habari nani? Husna?
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Huku sie wazima bukheri wa afya teleee. Sijui nyie huko mnakochanganyiana habari.

Unarudia nachotaka usahau walai utaanza kunishinda wewe mutu.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Huku sie wazima bukheri wa afya teleee. Sijui nyie huko mnakochanganyiana habari.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Unarudia nachotaka usahau walai utaanza kunishinda wewe mutu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Usinishindweshemeji yangu. Mimi na wewe tena!!
 
Shemeji si umeniahidi mwenyewe kuwa ukinena unanipa pesa.
Shemeji huo ni ubakaji wa mawazo...
Naona kwako kila neno linasomeka pesa. Watoto wetu wanashida saana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…