nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
hivi we una mume au nyumba ndogo????
hivi we una mume au nyumba ndogo????
Boss naanza kujifunza kuto kujibu hoja za watu ambao tuna different world views.
If you believe there is perfect marriage (no one night stand, no cheating) don't marry; kwani chance ya ndoa ya hivyo ni 0.0001. Na inaweza isiwe yako.
Nadhani ndio maana NN alisema yeye hana mke (if am right)
Sasa wale wanaomuunga mkono wakati wako kwenye ndoa naomba niwacheke tu kwani ni matter of time or you are already in it ila hujuhi.
Labda uolewe na mwanume mweny ugonjwa unaopunguza nguvu hapo huko safe.
my point ni hii
msimamo wa NN ambao si realistic ni hatari zaidi kwa jamii...
na unawaumiza womens zaidi.....kwa sababu atakuwa free to do anything as long as hajakuoa
while bora uoe,mke ana justification hata za kuanzisha ugomvi ukitoka nje...
so mwanamke ku support bora 'usioe' inakula kwake...
kwani ndoa sio kanisani tu,hata kuishi na mtu 'kisela' tu ni ndoa.
Boss ulisema una mke.
Je, utajisikiaje siku utapogundua mkeo ana nyumba ndogo yake?
inawezekana mimi na wewe kuna vitu 'fundamental' tunapishana...
mimi siamini kwa kuwa mimi nna nyumba ndogo na yeye 'amepata' haki hiyo..
nilisema mwanzo na narudia hapa...mwanaume na mwanamke hawako sawa na
hakuna sababu ya kushindana......
now swali lako ni kuwa'maamuzi yangu yatategemeana sana'
dirvoce ikiwa the first option...
Khaaa!!! Lmao.... Zingekua THICK brains... it would have made sense.... at least to me.... BUT then again najirudi nakufikiri it is the exact way you are thinking about what i have posted... So I say to myself.... "what the heck!!"
inawezekana mimi na wewe kuna vitu 'fundamental' tunapishana...
mimi siamini kwa kuwa mimi nna nyumba ndogo na yeye 'amepata' haki hiyo..
nilisema mwanzo na narudia hapa...mwanaume na mwanamke hawako sawa na
hakuna sababu ya kushindana......
now swali lako ni kuwa'maamuzi yangu yatategemeana sana'
dirvoce ikiwa the first option...
naomba kuuliza Boss kwa maelezo yako ina maana nyie mko perfecto?
Now what the freak are you talking about here?
I think I owe you and Gaijin an apology..... SORRY...
You can keep your phony apology to yourself. I neither want nor need it!
hatuko 'perfect'..
but biology inatu favor...and its not our fault..
i cant apologise to be born a man.....never....
Ndo moja ya sehemu tunajaribu mabadiliko.... tukishindwa basi....lol
unajua funny thing ni kwamba 'understanding' yako ya ndoa im base kwenye 'christianity' teaching..
tena wewe ambae huamini katika christianity.....na hao akina Oprah pia.....
but ndoa kwa sisi wengine ni zaidi ya kiapo...
kile kitendo tu cha kuishi na mtu kwa miaka ni ndoa tayari...
so hata huyo Oprah yuko kwenye 'ndoa' lakini haelewi.....
inawezekana mimi na wewe kuna vitu 'fundamental' tunapishana...
mimi siamini kwa kuwa mimi nna nyumba ndogo na yeye 'amepata' haki hiyo..
nilisema mwanzo na narudia hapa...mwanaume na mwanamke hawako sawa na
hakuna sababu ya kushindana......
now swali lako ni kuwa'maamuzi yangu yatategemeana sana'
dirvoce ikiwa the first option...