nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Boss naanza kujifunza kuto kujibu hoja za watu ambao tuna different world views.
If you believe there is perfect marriage (no one night stand, no cheating) don't marry; kwani chance ya ndoa ya hivyo ni 0.0001. Na inaweza isiwe yako.
Nadhani ndio maana NN alisema yeye hana mke (if am right)
Sasa wale wanaomuunga mkono wakati wako kwenye ndoa naomba niwacheke tu kwani ni matter of time or you are already in it ila hujuhi.
Labda uolewe na mwanume mweny ugonjwa unaopunguza nguvu hapo huko safe.
If you believe there is perfect marriage (no one night stand, no cheating) don't marry; kwani chance ya ndoa ya hivyo ni 0.0001. Na inaweza isiwe yako.
Nadhani ndio maana NN alisema yeye hana mke (if am right)
Sasa wale wanaomuunga mkono wakati wako kwenye ndoa naomba niwacheke tu kwani ni matter of time or you are already in it ila hujuhi.
Labda uolewe na mwanume mweny ugonjwa unaopunguza nguvu hapo huko safe.
hivi we una mume au nyumba ndogo????