33 hujaoa tu?
nenda google
Ni Handsome mwache akajianike Facebook km hakuona na wanaume nao wanamtumianenda google
Hendisamu bwooooi
hahha hajui kiwa wanawake these days wanataka anayejua kugegeda vizuri lol
Mimi kijana wa miaka 33 na handsome wa ukweli kutoka na nilivyo navutiwa na wadada wengi sana, ila nimeamua kuwa na mdada mmoja wa kupeana naye raha ya dunia. Sifa zangu mie nimfanyakazi wa sirikali, ni mpenda Mungu, mjasiriamali. Mwenye kupenda kwa sifa hizi na ana sifa hizo chini inbox, mambo yatakuwa poa!
Masharti:
1.Akubali kupima afya kabla ya kuanza maraha kwa stage yeyote.
2.Asiwe tegemezi kiuchumi.
3.Awe amesoma na angalau elimu yake ianzie kidato cha 4.
4.Dini yeyote.
5.Rangi na taifa lolote.
Mmmh.... Mpango kando maana yake nini vilee?
mpango kando.......kwa plain meaning ni hawara au vidumu na vibombonya sasa nashangaa huyu hajaoa anatafuta mpango wa kando
Hahahaa.... Nashukuru kwa tafsiri..! Halafu alitoa tangazo love connect anatafuta mpenzi aliye serious.. Sasa sijui ndio kaja kuweka bayana leo kwamba ni mpango kando anaoutafuta...! Hahahaaa.... Duniani kuna mengi!