Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Kuslide utaslide hata uwe umejicommit kiasi gani, Kuna kipindi nlipigwa tukio nkapoteana nkawa Sina mahusiano lkn nlikuwa naslide....nlichofanya ni kuwa na marafiki wengi wa kike nafanya timing tu naweka status naselect viewers wa kike tuπ€£najua ktk 20 nikikaza sitoki kavuπππ Acha ujinga ww kuna vitu vya kujicommit sioβ¦β¦β¦.!!! We vipi utambato miti?
Tafuta pesa ufanye mapenzi km starehe bro πππKuslide utaslide hata uwe umejicommit kiasi gani, Kuna kipindi nlipigwa tukio nkapoteana nkawa Sina mahusiano lkn nlikuwa naslide....nlichofanya ni kuwa na marafiki wengi wa kike nafanya timing tu naweka status naselect viewers wa kike tuπ€£najua ktk 20 nikikaza sitoki kavu
Mwanamke ukianza kua na misemo ya hvo ujue ushakua mshangaziTafuta pesa ufanye mapenzi km starehe bro πππ
Hata hivo mi ni MSHANGAZI NANGAI πππMwanamke ukianza kua na misemo ya hvo ujue ushakua mshangazi
Tafuta Mario mkubwa kwangu maana hawa wa rika langu tukikutana kwenye mpira wananiambia sister akikaaa kitandan tumbo unajikunja mara nneHata hivo mi ni MSHANGAZI NANGAI πππ
Pole sana, mashangazi tunashinda gym. Hao wenye vitambi wanaitwa MAMA KUBWAA π€£π€£π€£Tafuta Mario mkubwa kwangu maana hawa wa rika langu tukikutana kwenye mpira wananiambia sister akikaaa kitandan tumbo unajikunja mara nne
π€£π€£ππ Mishangazi haiendi gym tafuta hela wewe bintiPole sana, mashangazi tunashinda gym. Hao wenye vitambi wanaitwa MAMA KUBWAA π€£π€£π€£
Hiyo mimama ndo haiendi gym bro! Uko dunia ya ngapi?? Ww sina shaka unadate mimama π€£π€£π€£π€£π€£ππ Mishangazi haiendi gym tafuta hela wewe binti
Mtu kama shilole ni mumama au mushangazi?Hiyo mimama ndo haiendi gym bro! Uko dunia ya ngapi?? Ww sina shaka unadate mimama π€£π€£π€£
Mishangazi tunashinda gym, hao mnaodate nao ni age ya mama zenu.! π€£
Lile limama bhana we hulioni πππMtu kama shilole ni mumama au mushangazi?
Sasa mbn anaenda gymπLile limama bhana we hulioni πππ
Halafu amlipe Rommy NSSF zake aache utapeli π€£
ππππ apewe mafaoSasa mbn anaenda gymπ
Dogo pension yake anapata sema mchawi kikokotoo
Hela mnapataga wapi? Mbn mtaani hazishkiki au maunt mnafanya money lounderingππππ apewe mafao
Mashangazi nangai siku hizi tunatoa mafao
Pole sana!! Unashinda kkoo halafu unakosaje pesa kwa mfano??Hela mnapataga wapi? Mbn mtaani hazishkiki au maunt mnafanya money loundering
Sio kwamba sipati Hela napata vzr nasave ikifika kiasi flan inatokea kitu Hela inafekwa vbya sana naweza tafuta 800K nikasave hata 600k inatokea dharura Aisee unashangaa imebaki 125KPole sana!! Unashinda kkoo halafu unakosaje pesa kwa mfano??
Nipm nikupe michongo winga π€£π€£π€£
Pole sana πππSio kwamba sipati Hela napata vzr nasave ikifika kiasi flan inatokea kitu Hela inafekwa vbya sana naweza tafuta 800K nikasave hata 600k inatokea dharura Aisee unashangaa imebaki 125K
Mimi ni mwanaume.
Naishi dar.
Umri ;32
Rangi :Black.
Dini yangu -muslim
Natafuta mpenzi awe na sifa hizi
Awe anaishi dar.
Asiwe serious sana (Awe charming)
Umri 20-35.
Dini yoyote sibagui.
Aliyeridhia aje inbox.
Wanakuja mkuuMimi ni mwanaume.
Naishi dar.
Umri ;32
Rangi :Black.
Dini yangu -muslim
Natafuta mpenzi awe na sifa hizi
Awe anaishi dar.
Asiwe serious sana (Awe charming)
Umri 20-35.
Dini yoyote sibagui.
Aliyeridhia aje inbox.