sinoatrialnode
Member
- Jun 23, 2017
- 16
- 10
Habari za sikukuu ndugu zangu wakuu
Hope Bila Shaka mko poa na ujenzi wa taifa.. Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo mimi ni kijana wa miaka 29 ninatafuta mwenza ambaye baadae awe mke wangu.
Muhusika awe na tabia njema na pia sichagui rangi wala kabila, awe muslim by religious belief
Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea na awe na umri kuanzia 19-28.
Mimi ni mwajiriwa serikalini, Nina master ya economy from Toronto University (education qualification) na pia ni mfanyabiashara hapa jijini dar es salama na mwanza
Kwa wadada walio tayar nawakaribisha pm kwa maelezo zaidi.
Wakati mwingine tusichukulie mambo dhihaka na kama huna cha ku comment tafadhali leave or take it. Heshima ni ustaraabu sana
Asanteni na karibun.
Hope Bila Shaka mko poa na ujenzi wa taifa.. Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo mimi ni kijana wa miaka 29 ninatafuta mwenza ambaye baadae awe mke wangu.
Muhusika awe na tabia njema na pia sichagui rangi wala kabila, awe muslim by religious belief
Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea na awe na umri kuanzia 19-28.
Mimi ni mwajiriwa serikalini, Nina master ya economy from Toronto University (education qualification) na pia ni mfanyabiashara hapa jijini dar es salama na mwanza
Kwa wadada walio tayar nawakaribisha pm kwa maelezo zaidi.
Wakati mwingine tusichukulie mambo dhihaka na kama huna cha ku comment tafadhali leave or take it. Heshima ni ustaraabu sana
Asanteni na karibun.