Natafuta mpenzi, baadaye mke

Natafuta mpenzi, baadaye mke

AfricaUnited

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2010
Posts
2,367
Reaction score
1,293
Habari,

Mimi ni mkazi wa Dar es salaam
Umri - 33.6
Kazi - Ajira/biashara
Dini - Mkristo
Elimu - Masters
Rangi - mweusi na mrefu kiasi
Mtoto - Sina mtoto

Natafuta binti
Umri - 24 hadi 29
Kazi - Sio lazima
Elimu - Form 4 na kuendelea
Dini - Ikipendeza mkristo dhehebu lolote ila mcha Mungu sana
Rangi - Mweupe
Mwili - Asiwe mnene, awe kiasi na shepu
Mkoa - Popote Tanzania

Asiwe na mtoto wala mahusiano mengine

Nipo serious, nimepepesa sana macho na kuzunguka najaribu na huku😹

Karibu PM.
 
Habari,

Mimi ni mkazi wa Dar es salaam
Umri - 33.6
Kazi - Ajira/biashara
Dini - Mkristo
Elimu - Masters
Rangi - mweusi na mrefu kiasi
Mtoto - Sina mtoto

Natafuta binti
Umri - 24 hadi 29
Kazi - Sio lazima
Elimu - Form 4 na kuendelea
Dini - Ikipendeza mkristo dhehebu lolote ila mcha Mungu sana
Rangi - Mweupe
Mwili - Asiwe mnene, awe kiasi na shepu
Mkoa - Popote Tanzania

Asiwe na mtoto wala mahusiano mengine

Nipo serious, nimepepesa sana macho na kuzunguka najaribu na huku😹

Karibu PM.
Kila la heri mkuu....miaka 24 wanakuwa wasumbufuuuu...lakini hutulia wakipata guidance na wayoto majukumuuuii....wape watoto 3 hutuliaa kukomaaa
 
Habari,

Mimi ni mkazi wa Dar es salaam
Umri - 33.6
Kazi - Ajira/biashara
Dini - Mkristo
Elimu - Masters
Rangi - mweusi na mrefu kiasi
Mtoto - Sina mtoto

Natafuta binti
Umri - 24 hadi 29
Kazi - Sio lazima
Elimu - Form 4 na kuendelea
Dini - Ikipendeza mkristo dhehebu lolote ila mcha Mungu sana
Rangi - Mweupe
Mwili - Asiwe mnene, awe kiasi na shepu
Mkoa - Popote Tanzania

Asiwe na mtoto wala mahusiano mengine

Nipo serious, nimepepesa sana macho na kuzunguka najaribu na huku😹

Karibu PM.
Mrejesho
 
Nyie ndo mnafanya wanawake wajichubue Kila mwanaume ni anataka mweupe sisi weusi tubaki kuwakilisha bendera ya nchi Sasa

Tunangoja wengine wa nyash .... Mungu tusaidie
 
Back
Top Bottom