Natafuta mpenzi (binti)

Natafuta mpenzi (binti)

nothing in this world is for free my friend,umesema hutaki kuoa,na kulipia pia hutak????i....huyo msichana atakuwa mjinga kuja kutumika tu kwako na kisha baadae kutupwa(used) kama ganda la muwa????
 
Akikuambia ni 11 na ukaenda ukumbane na 16 si atakuchana?ukizingatia hakuna ujira!
 
Ulimpata hiyo jana au bado? Vipi leo tena unataka?
 
Naapa kwa jina mungu, miaka kumi ijayo vijana watakuwa ni wa suruali tu. Yaani kutongoza msichana, hadi uje jf!!!
Eeeeh! Mungu wangu, mtaani wasichana wapo wengi, kila levele, kuanzia first class hadi second class.

ha ha ha ha ha.... Kwan hapa nmemtongo nan? Na kama we huna lengo hilo huku umefikafikaje? Au umefukuzwa jukwaa la Elim? Ha ha ha ha
 
nothing in this world is for free my friend,umesema hutaki kuoa,na kulipia pia hutak????i....huyo msichana atakuwa mjinga kuja kutumika tu kwako na kisha baadae kutupwa(used) kama ganda la muwa????

nawachukia mnaoyageuza mapenz biashara.
 
hilo jina tu nina mashaka nalo inaonekana mkuu umeingeji watoto kibao hadi pete zimeota kutu hala unahitaji tena ila mkuu angalia sana tusije anzisha uzi wa kuchangishana..
baadae kidogo..
 
hilo jina tu nina mashaka nalo inaonekana mkuu umeingeji watoto kibao hadi pete zimeota kutu hala unahitaji tena ila mkuu angalia sana tusije anzisha uzi wa kuchangishana..
baadae kidogo..

nimekuelewa
 
Really? Just for sex??? Kwa hiyo we upo tayari hata umkute na mwingine provided that anakugea sex? Umejiandaa kufa na kilo ngapi na pia umejiandaaje na tatizo la kisaikologia linalokukabili? Hivi ni uoga wa kuingia kwenye ndoa au? Aiseee! Nashangaa kuona hata wewe mwenyewe haujithamini!
 
Back
Top Bottom