Wewe ni Me au Ke uliyeandika "kama hutumi nauli basi"Nina 29
Kama hutumi nauli basi
Safi ingawa umeandika muandiko imara sana.Yani very straight and to the points.Hata haurembui kidogo?Ndagha fijo!Sifa zangu;
Jinsia: ke
Umri: 27
Dini: mkristo
Kabila: Nyakyusa (nimetaja kabila Ili msiokuwa interested muishie kusoma tu huu Uzi)
Elimu: la saba 'b'
Kazi: sina
Sifa za anayetafutwa;
Jinsia: me
Umri: 30-35
Dini: mkristo
Elimu: yoyote
Kazi: yoyote
Niko dar es salaam, akiwa mikoa ya karibu itapendeza, SITUMIWI NAULI utakuja mwenyewe.
NB: Mimi sio feminist yaani si-support slogan ya 50/50 kwa hiyo anatakiwa mwanaume mwenye kuutumia 'uanaume' wake vizuri.
Wewe ni kiboko darasa la saba lakini unatema yai kumshinda hata mwenye PhD ya korosho. Hongera sana.!!!Sifa zangu;
Jinsia: ke
Umri: 27
Dini: mkristo
Kabila: Nyakyusa (nimetaja kabila Ili msiokuwa interested muishie kusoma tu huu Uzi)
Elimu: la saba 'b'
Kazi: sina
Sifa za anayetafutwa;
Jinsia: me
Umri: 30-35
Dini: mkristo
Elimu: yoyote
Kazi: yoyote
Niko dar es salaam, akiwa mikoa ya karibu itapendeza, SITUMIWI NAULI utakuja mwenyewe.
NB: Mimi sio feminist yaani si-support slogan ya 50/50 kwa hiyo anatakiwa mwanaume mwenye kuutumia 'uanaume' wake vizuri.
Njoo Pm tuyajengeSifa zangu;
Jinsia: ke
Umri: 27
Dini: mkristo
Kabila: Nyakyusa (nimetaja kabila Ili msiokuwa interested muishie kusoma tu huu Uzi)
Elimu: la saba 'b'
Kazi: sina
Sifa za anayetafutwa;
Jinsia: me
Umri: 30-35
Dini: mkristo
Elimu: yoyote
Kazi: yoyote
Niko dar es salaam, akiwa mikoa ya karibu itapendeza, SITUMIWI NAULI utakuja mwenyewe.
NB: Mimi sio feminist yaani si-support slogan ya 50/50 kwa hiyo anatakiwa mwanaume mwenye kuutumia 'uanaume' wake vizuri.
Una wasiwasi watashindwa kusikitika kwa kutingisha vichwa au kutazama ndege zikipita angani?Nina bichwa kubwa san tukichanganya la kinyakyusa nawaonea huruma watoto wangu. Anyway mimi sipo interested.
Tafuta kazi kwanzaSifa zangu;
Jinsia: ke
Umri: 27
Dini: mkristo
Kabila: Nyakyusa (nimetaja kabila Ili msiokuwa interested muishie kusoma tu huu Uzi)
Elimu: la saba 'b'
Kazi: sina
Sifa za anayetafutwa;
Jinsia: me
Umri: 30-35
Dini: mkristo
Elimu: yoyote
Kazi: yoyote
Niko dar es salaam, akiwa mikoa ya karibu itapendeza, SITUMIWI NAULI utakuja mwenyewe.
NB: Mimi sio feminist yaani si-support slogan ya 50/50 kwa hiyo anatakiwa mwanaume mwenye kuutumia 'uanaume' wake vizuri.
Hiyo ndio kazi yenyewe hujui kuwa mwanamke akiachwa anakua amepoteza kaziTafuta kazi kwanza
Pamoja na hayo kuna hili la kumtesa yeye mama wakati wa kujifungua. Sitafurahia kabisa.Una wasiwasi watashindwa kusikitika kwa kutingisha vichwa au kutazama ndege zikipita angani?
Kumbe? Ndiyo maana huwa wanakuwa wakali sana wakiachika na mahakama zote zitapokea shauri la kudai mafao.Hiyo ndio kazi yenyewe hujui kuwa mwanamke akiachwa anakua amepoteza kazi
Ww sio feminist ila una vi heterogeneous characters vya ki feminist vimejificha. Ni swala tu la mentorship kidogo kutoka kwa mashost ukiwa ndoani ile uwe feminist kamili. All in all @ la kheriSifa zangu;
Jinsia: ke
Umri: 27
Dini: mkristo
Kabila: Nyakyusa (nimetaja kabila Ili msiokuwa interested muishie kusoma tu huu Uzi)
Elimu: la saba 'b'
Kazi: sina
Sifa za anayetafutwa;
Jinsia: me
Umri: 30-35
Dini: mkristo
Elimu: yoyote
Kazi: yoyote
Niko dar es salaam, akiwa mikoa ya karibu itapendeza, SITUMIWI NAULI utakuja mwenyewe.
NB: Mimi sio feminist yaani si-support slogan ya 50/50 kwa hiyo anatakiwa mwanaume mwenye kuutumia 'uanaume' wake vizuri.
Ndio πKumbe? Ndiyo maana huwa wanakuwa wakali sana wakiachika na mahakama zote zitapokea shauri la kudai mafao.
Anacheza na akili za Watu huyu.Huu mwandiko sio wa ki-darasa la saba π€π€π€π€π€
Una watoto wangapi?Sifa zangu;
Jinsia: ke
Umri: 27
Dini: mkristo
Kabila: Nyakyusa (nimetaja kabila Ili msiokuwa interested muishie kusoma tu huu Uzi)
Elimu: la saba 'b'
Kazi: sina
Sifa za anayetafutwa;
Jinsia: me
Umri: 30-35
Dini: mkristo
Elimu: yoyote
Kazi: yoyote
Niko dar es salaam, akiwa mikoa ya karibu itapendeza, SITUMIWI NAULI utakuja mwenyewe.
NB: Mimi sio feminist yaani si-support slogan ya 50/50 kwa hiyo anatakiwa mwanaume mwenye kuutumia 'uanaume' wake vizuri.