Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣 ID yako ya zamani ni ipi ?Katika maana zote umeiona hiyo ndio ya muhimu 'blaza'..
Jilipue Mkuu, tuko paleeeee utatupa mrejesho🤣🤣Toa hicho kigezo Cha umri
Sijui nikajilipue PM
Ni me kuna ishu ?Wewe ni Me au Ke uliyeandika "kama hutumi nauli basi"
Hzi mambo za kwenda kujieleza kwa mtu venye humjui yupoje inataka ujasiri sana!Jilipue Mkuu, tuko paleeeee utatupa mrejesho🤣🤣
labda uwe kighesere mwenye kipulilo lakini untine kabisa gwibhike pa kichanja mmmhh, achooo nganile losa, partly you should be joking , masipota mayo? Habari ja nelo habari jq kukaya,Tuanze kwenye urafiki hadi kufikia mpenzi (me)
Sifa zangu;
Jinsia: ke
Umri: 27
Dini: mkristo
Kabila: Nyakyusa (nimetaja kabila Ili msiokuwa interested muishie kusoma tu huu Uzi)
Elimu: la saba 'b'
Kazi: sina
Sifa za anayetafutwa;
Jinsia: me
Umri: 30-35
Dini: mkristo
Elimu: yoyote
Kazi: yoyote
Niko Dar es Salaam, akiwa mikoa ya karibu itapendeza, SITUMIWI NAULI utakuja mwenyewe.
NB: Mimi sio feminist yaani si-support slogan ya 50/50 kwa hiyo anatakiwa mwanaume mwenye kuutumia 'uanaume' wake vizuri.
Tuanze kwenye urafiki hadi kufikia mpenzi (me)
Sifa zangu;
Jinsia: ke
Umri: 27
Dini: mkristo
Kabila: Nyakyusa (nimetaja kabila Ili msiokuwa interested muishie kusoma tu huu Uzi)
Elimu: la saba 'b'
Kazi: sina
Sifa za anayetafutwa;
Jinsia: me
Umri: 30-35
Dini: mkristo
Elimu: yoyote
Kazi: yoyote
Niko Dar es Salaam, akiwa mikoa ya karibu itapendeza, SITUMIWI NAULI utakuja mwenyewe.
NB: Mimi sio feminist yaani si-support slogan ya 50/50 kwa hiyo anatakiwa mwanaume mwenye kuutumia 'uanaume' wake vizuri.
Kwa maelezo yako unatafuta MTU WA kukuhudumia Na si Wa kukaa Na kutengenezAA familia yaani uko kimaslah zaidTuanze kwenye urafiki hadi kufikia mpenzi (me)
Sifa zangu;
Jinsia: ke
Umri: 27
Dini: mkristo
Kabila: Nyakyusa (nimetaja kabila Ili msiokuwa interested muishie kusoma tu huu Uzi)
Elimu: la saba 'b'
Kazi: sina
Sifa za anayetafutwa;
Jinsia: me
Umri: 30-35
Dini: mkristo
Elimu: yoyote
Kazi: yoyote
Niko Dar es Salaam, akiwa mikoa ya karibu itapendeza, SITUMIWI NAULI utakuja mwenyewe.
NB: Mimi sio feminist yaani si-support slogan ya 50/50 kwa hiyo anatakiwa mwanaume mwenye kuutumia 'uanaume' wake vizuri.
Tatizo mimi ni umri umeenda nina 45Tuanze kwenye urafiki hadi kufikia mpenzi (me)
Sifa zangu;
Jinsia: ke
Umri: 27
Dini: mkristo
Kabila: Nyakyusa (nimetaja kabila Ili msiokuwa interested muishie kusoma tu huu Uzi)
Elimu: la saba 'b'
Kazi: sina
Sifa za anayetafutwa;
Jinsia: me
Umri: 30-35
Dini: mkristo
Elimu: yoyote
Kazi: yoyote
Niko Dar es Salaam, akiwa mikoa ya karibu itapendeza, SITUMIWI NAULI utakuja mwenyewe.
NB: Mimi sio feminist yaani si-support slogan ya 50/50 kwa hiyo anatakiwa mwanaume mwenye kuutumia 'uanaume' wake vizuri.
Wastaafu wenye hela zetu tuna comment wapi?Tuanze kwenye urafiki hadi kufikia mpenzi (me)
Sifa zangu;
Jinsia: ke
Umri: 27
Dini: mkristo
Kabila: Nyakyusa (nimetaja kabila Ili msiokuwa interested muishie kusoma tu huu Uzi)
Elimu: la saba 'b'
Kazi: sina
Sifa za anayetafutwa;
Jinsia: me
Umri: 30-35
Dini: mkristo
Elimu: yoyote
Kazi: yoyote
Niko Dar es Salaam, akiwa mikoa ya karibu itapendeza, SITUMIWI NAULI utakuja mwenyewe.
NB: Mimi sio feminist yaani si-support slogan ya 50/50 kwa hiyo anatakiwa mwanaume mwenye kuutumia 'uanaume' wake vizuri.
Tuanze kwenye urafiki hadi kufikia mpenzi (me)
Sifa zangu;
Jinsia: ke
Umri: 27
Dini: mkristo
Kabila: Nyakyusa (nimetaja kabila Ili msiokuwa interested muishie kusoma tu huu Uzi)
Elimu: la saba 'b'
Kazi: sina
Sifa za anayetafutwa;
Jinsia: me
Umri: 30-35
Dini: mkristo
Elimu: yoyote
Kazi: yoyote
Niko Dar es Salaam, akiwa mikoa ya karibu itapendeza, SITUMIWI NAULI utakuja mwenyewe.
NB: Mimi sio feminist yaani si-support slogan ya 50/50 kwa hiyo anatakiwa mwanaume mwenye kuutumia 'uanaume' wake vizuri.
La saba B una vitisho sana, sasa tukipeleka watoto inglish midiam homework atawasaidia nani?Tuanze kwenye urafiki hadi kufikia mpenzi (me)
Sifa zangu;
Jinsia: ke
Umri: 27
Dini: mkristo
Kabila: Nyakyusa (nimetaja kabila Ili msiokuwa interested muishie kusoma tu huu Uzi)
Elimu: la saba 'b'
Kazi: sina
Sifa za anayetafutwa;
Jinsia: me
Umri: 30-35
Dini: mkristo
Elimu: yoyote
Kazi: yoyote
Niko Dar es Salaam, akiwa mikoa ya karibu itapendeza, SITUMIWI NAULI utakuja mwenyewe.
NB: Mimi sio feminist yaani si-support slogan ya 50/50 kwa hiyo anatakiwa mwanaume mwenye kuutumia 'uanaume' wake vizuri.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nina 29
Kama hutumi nauli basi
Ni MeWewe ni Me au Ke uliyeandika "kama hutumi nauli basi"