Natafuta mpenzi (ME)

Status
Not open for further replies.
Duuh
labda uwe kighesere mwenye kipulilo lakini untine kabisa gwibhike pa kichanja mmmhh, achooo nganile losa, partly you should be joking , masipota mayo? Habari ja nelo habari jq kukaya,
 
 
Kwa maelezo yako unatafuta MTU WA kukuhudumia Na si Wa kukaa Na kutengenezAA familia yaani uko kimaslah zaid
 
Tatizo mimi ni umri umeenda nina 45
 
Wastaafu wenye hela zetu tuna comment wapi?
 
Unajua humu mnashida ila mnajiona ujinga ujinga tu , halafu kazi ukenge kenge tu shenzi type, namnashida wa mke sorry kwa kuandika hivi TGB umefikia la saba unamiaka 27 kweli kwa muda wote huo ulishindwa kwenda QT kweli siamini sijui
 
Msukuma wa bungeni nae ni la 7 [emoji28][emoji28]
 

Ebu sema uko dar mtaa gani..maana kila mtaa una sifa zake
 
La saba B una vitisho sana, sasa tukipeleka watoto inglish midiam homework atawasaidia nani?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…