Vipi Jogoo limekataa kuwika Chamwino?
Kwamba huwezi kuachaVigezo vyote ninavyo tatizo hapo kwenye pombe, dah bas tena
Sina sababu ya kuachaKwamba huwezi kuacha
Ebu nenda ukachukue fursa ya malezi hiyo, ujilelee kijana kwa mikono yako..ππVigezo vyote ninavyo tatizo hapo kwenye pombe, dah bas tena
Huku ni kusupport uvivu aiseeee.....Frank Wanjiru kwanini maneno yote hayo kwa mwenzioπππ
All the best jason Mungu akupe hitaji la moyo wako
Sa hizi Serengeti lager namuachia nani?Ebu nenda ukachukue fursa ya malezi hiyo, ujilelee kijana kwa mikono yako..ππ
Best hiki kigezo unacho?Unaitwa Nani??
Kuuumbeeee[emoji39][emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji2996]Vigezo vyote ninavyo tatizo hapo kwenye pombe, dah bas tena
Ha haaaKuuumbeeee[emoji39][emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji2996]
Awe ni mnene wa shep au awe na mzigo.
Awe anaishi Dar au jirani na Dar
Ina maana mama Claree pombe huwezi acha uolewe?πππVigezo vyote ninavyo tatizo hapo kwenye pombe, dah bas tena
Jamaa anipende tu na pombe zangu kwa kweli. Yeye akiambiwa anywe pombe ili kunifurahisha atafanya?Ina maana mama Claree pombe huwezi acha uolewe?πππ
Na hivi zimeshuka bei. Ama kweli Serikali ya mama samia imewaoneni na kuamua kuwatendea wema watu wake[emoji23]Sa hizi Serengeti lager namuachia nani?