Natafuta mpenzi mwanamke mwenye miaka 35-50

Natafuta mpenzi mwanamke mwenye miaka 35-50

oxlade

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2012
Posts
601
Reaction score
96
jamani me nna miaka 24, natafuta mwanamke wa kuwa mpenzi wangu mwenye miaka kuanzia 35 mpaka 50, sifa yoyote ile, me nna mapenzi ya kweli, aliye tayari ani PM.
Matusi sitaki.
Nawasilisha.
 
Toa akili za kijinga hapa, unataka mwanamke aliyekuzidi umri namna hiyo kwa misingi gani? we maliyoo sio?
 
Mmh... Vitoto vingine jamani hata aibu havina...!
 
Mhhhhhh!Kila la kheri mkuu,kama alivyoomba si vizuri kumtukana
 
kavutiwa na mimama muacheni hajasema anataka kulelewa. Haya mnaotaka damu changa.
 
Back
Top Bottom