Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo code za pesa mzee.#Nahitaji mpenzi anaejielewa anaejua kumcare mwanamke na anaejua kupenda haswaaah...[emoji848]
Hiyo code hapo juu[emoji115] nmeielewa[emoji4][emoji120]
Mpenzi mwenye moyo wake ha ha [emoji3][emoji3] kwani wengine wana nini mrembo au wana figo tuu?? Nakutakia kila raheri umpate Mme mwenye moyo wake.
kucare+kupenda haswaaah[emoji3]
jaman mm ninavyojua, upendo huja automatically wala hakuna anaejua na asiejua.au siyo!
Ungeweka na picha ya kaburi la huyo mzazi mwenzio,ungetupunguzia maswali
Mungu akupe hitaji la moyo wako dear
me ni ke mkuuVipi ww hutaki
me ni ke mkuu
Kaniambia kapoteza nauli tandika nimtumie 😄😄😄😄😄weka picha ya kaburi
Mkuu unamuanika mwenzio sio poa..Hapa hakuna mke wala mpenzi, huyu mdangaji kabisaaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
View attachment 2452567
Hello! Samahanini jaman mie naitwa ade am single and ntafurah sana kama ntampata [emoji3590]my oxygen*... apa.
By the way;
naishi Dar es salaam,
Umri wangu n miaka 24,
Nina mtoto mmoja ila Bad luck baba yake alifariki Dunia[emoji3064]. So nahitaji faraja na mwanaume wa kuspend nae na kutengeneza maisha.
#Nahitaji mpenzi anaejielewa anaejua kumcare mwanamke na anaejua kupenda haswaaah.
MUME WA MTU SIMTAKI please!
VIGEZO:
Awe tayari kunicare mm na mtoto wangu.
Asiwe mtumiaji wa pombe wala sigara.
Awe na rangi yoyote.
Mrefu.
Umri ni namba lakin nahitaj kuanzia miaka 35 na kuendelea.
Mcha Mungu mwenye hofu ya Mungu, Dini yoyote Mungu ni mmoja.
Msafi, mtanashati, mcheshi, anaependa watoto.
Mkazi wa Dar es salaam na kama ni wa nje ya Dar awe tayari kuja dar for the first hug and meeting.
Awe na kazi au aliyejiajiri.
ABOUT ME:
Mie n mrefu kiasi.
Maji ya kunde.
Mwembamba kiasi.
Nina degree.
Nimejiajiri.
NOTE: Ukiwa na tatizo lolote usiogope kuniambiaaa... tunaweza kuzungumza tukalitatua mapenzi n kuelewana, kuheshimiana, kusikilizana, kuvumiliana na kuchukuliana vzuri katika hali zote kiafya, kimwili na kila ktu so be free.
Asante kwa time yako kupitia post yangu na Karibu sana mpenz*.[emoji3590][emoji3590][emoji3590]
#Kwa aliye serious tu ndo aniPM please!
[emoji23][emoji23][emoji23]kahUngeweka na picha ya kaburi la huyo mzazi mwenzio,ungetupunguzia maswali
Hatari, wadangaji wana techniques nyingi sana za kuvuna.