Natafuta mpenzi mwenye moyo wake

" Mapenzi n kuelewana, kuheshimiana, kusikilizana, kuvumiliana na kuchukuliana Vizuri katika hali zote kiafya, kimwili na kila kitu ."
♥️♥️♥️
 
😂😂😂😂 naona unatafta wanaume zaidi ya watano kwenye post moja😂😂😂😂😂😂😂 kama baba wa mtoto kafa mm ntabaki kweli tafta wajinga ndo uwadanganye we sema unataka mtu akupige mbupu basi ila mambo za mtu mwenye moyo wengi wetu tumebeba mawe na wajinga ndio waliwao😂😂😂😂😂
 

Msidanganyike hilo ni bwabwa!!
 
Izo sifa ni Mimi kbs,njoo pm mama nikuonyeshe gentleman knows how to care
 
Muhitaji inaonesha unamapenzi matamu sanaa yaniii!! kabila gani weee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…