Natafuta mpenzi mwenye ndonya!!

Natafuta mpenzi mwenye ndonya!!

Mpigaji

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2011
Posts
384
Reaction score
42
Kwa binti wa Kitanzia mwenye urembo wa asili asiyetumia mkorogo.Lakini LAZIMA AWE NA NDONYA katika sura yake!Napenda awe MGOGO au MMAKONDE!Elimu kuanzia kidato cha 4,umri kuanzia miaka 24!
 
Btw, ndonya ni nini?/ni ipi hasa?

Wagogo najua huwa/walikuwa wanaweka kama kovu la mviringo katikati ya paji la uso. Wamakonde wao ukiacha chale (kubwa)/michoro usoni, kwa wanawake walikuwa wanautoboa mdomo wa juu na kuweka kipisi cha mti cha mviringo hivi. Kuna mtu aliwahi kuniambia hiyo ya wamakonde ndio 'ndonya' (na si ile ya wagogo), lakini mimi kwa nilivyokuwa najua hiyo ya wagogo ndio 'ndonya' (lakini sijui ile ya wamakonde inaitwaje!) - ilikuwa ni ubishani ambao haukwisha!
 
Btw, ndonya ni nini?/ni ipi hasa?

Wagogo najua huwa/walikuwa wanaweka kama kovu la mviringo katikati ya paji la uso. Wamakonde wao ukiacha chale (kubwa)/michoro usoni, kwa wanawake walikuwa wanautoboa mdomo wa juu na kuweka kipisi cha mti cha mviringo hivi. Kuna mtu aliwahi kuniambia hiyo ya wamakonde ndio 'ndonya' (na si ile ya wagogo), lakini mimi kwa nilivyokuwa najua hiyo ya wagogo ndio 'ndonya' (lakini sijui ile ya wamakonde inaitwaje!) - ilikuwa ni ubishani ambao haukwisha!

Zote ni ndonya tu!Ile ya Wamakonde ni safi sana!
 
Wamakonde si uende Mtwara au Mozambique kabisa!
Kuna jamaa anaoteka Lichinga ntamstua
 
Back
Top Bottom