Natafuta Mpenzi Wa kike Mtu mzima

Natafuta Mpenzi Wa kike Mtu mzima

MrSocrates

Member
Joined
Sep 29, 2017
Posts
46
Reaction score
30
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nina elimu ya kidato cha nne + college certificate ya fani ya IT(information Technology)
ni mweusi na mwembamba kiasi

Natafuta mpenzi wa kike mwenye umri zaidi wa 30 na kuendelea Awe serious
ni PM (Private message) kama utakua uko interested na mimi na tutapeana mawasiliano

nategemea pia kuona wenye majibu mabaya kwa thread yangu ila its ok
 
Magufuli baba tafadhali, tafadhali legeza kidogo. Hali sio hali kabisa, vijana wanaanza kuukana uanamume wao, vijana wanataka kulelewa sasa, mkuu unawapeleka vijana kusiko, wakikosa wa kuwalea wa jamii ya kike watatafuta wa jamii yao! Wahurumie mkuu, imetosha sasa!
 
Magufuli baba tafadhali, tafadhali legeza kidogo. Hali sio hali kabisa, vijana wanaanza kuukana uanamume wao, vijana wanataka kulelewa sasa, mkuu unawapeleka vijana kusiko, wakikosa wa kuwalea wa jamii ya kike watatafuta wa jamii yao! Wahurumie mkuu, imetosha sasa!
Kijana tafuta pesa utapata wa rika lako,acha kupenda mtelemko,utapata ukimwi au ubakwe,
 
Mkuu hii ni dalili mbaya sana ya kulenga mwanamke aliyekuzidi umri ili akulee.na ukitembea na mwanamke aliyekuzidi umri utazeeka kabla ya muda.Tafuta mnaoendana kiumri hata kimawazo mtaendana
 
Magufuli baba tafadhali, tafadhali legeza kidogo. Hali sio hali kabisa, vijana wanaanza kuukana uanamume wao, vijana wanataka kulelewa sasa, mkuu unawapeleka vijana kusiko, wakikosa wa kuwalea wa jamii ya kike watatafuta wa jamii yao! Wahurumie mkuu, imetosha sasa!
hawa madogo wanakera balaa .unamchukulia tu wahuni wamle kiboga
 
Mkuu hii ni dalili mbaya sana ya kulenga mwanamke aliyekuzidi umri ili akulee.na ukitembea na mwanamke aliyekuzidi umri utazeeka kabla ya muda.Tafuta mnaoendana kiumri hata kimawazo mtaendana
ngoja nimkubalia nimwambie aje kwangu nampikia na supu ya kuku akimaliza nampeleka kitandani namuitia wahuni wamle kiboga ndo atashika adabu.
 
Marioo unataka kulelewa??njoo kwangu nitakupangishia nyumba na Toyota EST nitakupatia kazi yako wewe ni kukaa ndani na kukuna nazi tuu.
 
Tafuta woooote ila usitafute mke wa mtu. Ushauri wangu ndio huo.
 
Mpenda kitonga..utakufa mapema dogo soma,piga mishe za pesa kwanza
 
Back
Top Bottom