Aje kwa nauli yake, ykrudi nmpitia mwenyeww[emoji16][emoji16][emoji16]Kichwa cha Habari muhindi ndani ya Habari mlugulu wa 'mologolo'......
Anyways umeanza kiubabe Sana mkuu. Kuwa na Amani tuma tu nauli. Kuibiwa nauli mbili Tatu wakati wa kutafuta mke si mbaya
Crown???Wanakuja
Ila Bantu Lady akija usimjibu tafadhali
financial services hana shida
Ila uwe na crown[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mluguru Tena mhh, atakua Hana haja ya kununua redio.Wewe sema tu unataka mluguru usizunguke [emoji12]
Mluguru Tena mhh, atakua Hana haja ya kununua redio.
[emoji23][emoji23]Mluguru Tena mhh, atakua Hana haja ya kununua redio.
Hata soko la mawenzi piaKingaru au?
Mpogoro 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wewe sema tu unataka mluguru usizunguke [emoji12]