Natafuta mpenzi awe serious na mimi anipende jinsi nilivyo aniheshimu nami nitampenda na kumueshimu siku zote. Na mwisho tufunge ndoa takatifu.
Sifa za mpenzi wangu:
Umri :30-35
Awe na mapenzi ya dhati kwangu na kwa ndugu zangu.
Dini: mkristo
Kuhusu muonekano sijali point kubwa awe namapenzi yadhati kwangu anipende anijali kwakila kitu na mimi nitamjali zaidi.
Umri wangu miaka 25
Dini mkristo
Elimu yangu darasa la7
Napenda mwanaume atakayeridhika na mimi kwasababu sina kazi yakuniingizia kipato kwa kipindi hiki.
Karibini pm kwa aliye serious tu
Sifa za mpenzi wangu:
Umri :30-35
Awe na mapenzi ya dhati kwangu na kwa ndugu zangu.
Dini: mkristo
Kuhusu muonekano sijali point kubwa awe namapenzi yadhati kwangu anipende anijali kwakila kitu na mimi nitamjali zaidi.
Umri wangu miaka 25
Dini mkristo
Elimu yangu darasa la7
Napenda mwanaume atakayeridhika na mimi kwasababu sina kazi yakuniingizia kipato kwa kipindi hiki.
Karibini pm kwa aliye serious tu