CoHU
Member
- Aug 4, 2018
- 64
- 38
Habari zenu wana jamii?
Mimi ni mwanaume mwenye sifa zifuatazo:
1.Nina 34yrs.
2.Maji ya kunde.
3.Kimo ni wastani(mrefu kiasi).
4.Mwembamba(sio sana ni mwili wa mazoezi).
5.Nimesoma hadi darasa la saba.
6.Sina kazi kwasasa(naunga unga tu ili siku ziende).
7.Kabila ni Mkinga(Mahanji).
8.Nimezaliwa kwenye Ukristo ila sio mdini(nipo nipo tu).
Kwa upande wa mwanamke sina vigezo ilimradi aridhike kuwa namimi kwenye shida na raha.
Njoo PM mpenzi wangu
Mimi ni mwanaume mwenye sifa zifuatazo:
1.Nina 34yrs.
2.Maji ya kunde.
3.Kimo ni wastani(mrefu kiasi).
4.Mwembamba(sio sana ni mwili wa mazoezi).
5.Nimesoma hadi darasa la saba.
6.Sina kazi kwasasa(naunga unga tu ili siku ziende).
7.Kabila ni Mkinga(Mahanji).
8.Nimezaliwa kwenye Ukristo ila sio mdini(nipo nipo tu).
Kwa upande wa mwanamke sina vigezo ilimradi aridhike kuwa namimi kwenye shida na raha.
Njoo PM mpenzi wangu