34yrs,unaunga unga, Mkinga,sio mdini aisee mkuu nakutakia kila la kheri,usisahau kutuletea mrejesho
Ukimpata mpenzi wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala hata haujakosea kusema ukweli natumai utampata wa kufanana naye
Ndiyo maana nimekutakia kila la kheri Mkuu mi nasubiri mrejesho tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jumbo unnie mkinga[emoji1][emoji16][emoji16][emoji16] aisee nimejikuta nacheka, kila la kheri mkinga mwenzangu Heaven Sent njoo uolewe na kaka yangu kwani hutaki mwanaume mwenye mapenzi ya kweli wewe?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] wote wabishi kasoro mimi
Na zaidi ana mwili wa mazoezi!![emoji16][emoji16][emoji16] aisee nimejikuta nacheka, kila la kheri mkinga mwenzangu Heaven Sent njoo uolewe na kaka yangu kwani hutaki mwanaume mwenye mapenzi ya kweli wewe?
[emoji16][emoji16][emoji16] aisee nimejikuta nacheka, kila la kheri mkinga mwenzangu Heaven Sent njoo uolewe na kaka yangu kwani hutaki mwanaume mwenye mapenzi ya kweli wewe?