Natafuta mpenzi

Natafuta mpenzi

Jamaniee nipo serious akipatikana aje pm nitampa namba then nitamtumia picha zangu whstsap kidoogo natabia nzuri kwanza kapooole km nini
Hahahahaha... Hahahaa eti kwanza kapole kama nini malizia basi hapo kama nini [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sema hiyo yako avatar inanitisha..............au ndo uko hivo real......................
 
Vigezo vyote ninavyo Jovitha tafadhari nakuomba uni pm. Toto la kimanyema mimi eeh
Namiliki boti 6 mitumbwi 4 heka 5 za maharage na mihogo. So tutakula udaga sana na migebuka.
Si unajua migebuka ilivyo mitamu na dagaa mteke wa mawese wakiwa wamelala weee utamu wake usiniambie. Pleazi sitanii natafuta mchumba kweli. Kwetu ujiji
I see you
 
Malaya wewe mkubwa,unatafuta kuchuma tu,wanaume tumekushtukia
 
Back
Top Bottom