buthabutha
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 659
- 396
Na mie nimeshangaa....Natafuta msichana kwa malengo ya kuanzisha familia pamoja
Ña hii ni yako pia
Ww ni balaa jinsia yako inabadilika kila baada ya mwezi
Ninacho wapendea raia humu, mna kumbukumbu sana. labda ni lesbian huyuNatafuta msichana kwa malengo ya kuanzisha familia pamoja
Ña hii ni yako pia
Ww ni balaa jinsia yako inabadilika kila baada ya mwezi
we jamaa upo? kitambo sanaBahati mbaya anawataka wa Dar tu.
Hahaha Kumbe kevu huyu, ana jinsia mbili nnSoma post #10
Ukishangaa ya Musa utaona ya unguja shemeji [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Na mie nimeshangaa....
Nyie wanaume masingle umu mkuje... Kipepeo uyo kajitokeza
mke wa mtandaoni [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nyie wanaume masingle umu mkuje... Kipepeo uyo kajitokeza
Jizi hili, ndio maana nasema humu JF anything is possible. Usiamini habari za JF ukajsahau... umeona jitu linabadilisha jinsia kila mara!Natafuta msichana kwa malengo ya kuanzisha familia pamoja
Ña hii ni yako pia
Ww ni balaa jinsia yako inabadilika kila baada ya mwezi
we ni jizi, pumbavu, mara nahitaji ke, mara nahitaji me, hopelessHabarini za asubuhi wandugu,
Kwa yeyote mwenye hitaji kama langu naomba tuwasiliane pm. Mimi ni Ke age btn 26 -28. Nipo Dar kabila mchaga dini christian.
Mwanaume ninayemtaka awe na age at least kuanzia 30 and above awe na shughuli rasmi ya kumuingizia kipato na awe anaishi Dar.
Mengine tuongee pm
Asije kua ni shoga huyu![emoji108]we ni jizi, pumbavu, mara nahitaji ke, mara nahitaji me, hopeless
Ona hapa!Natafuta msichana kwa malengo ya kuanzisha familia pamoja