buthabutha
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 659
- 396
Mnaotafta wapenzi kupitia jf nawashangaa sana,huko mtaan hakuna? Mtaokota na mambo ya ajabu ndo maana ndoa hazidumu kizazi chetu
Suala la kupata wa kuoa sio jambo rahis rahs kama watu wanavyofikiria
Tufke pahala tuachane na umagharibi ndio wametufikisha hapa tulipo leo
Suala la kupata wa kuoa sio jambo rahis rahs kama watu wanavyofikiria
Tufke pahala tuachane na umagharibi ndio wametufikisha hapa tulipo leo