Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
ok kila la kheriKwani mwanamke na mwanaume wanafanyaga nini?
Nataka wa kuoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ok kila la kheriKwani mwanamke na mwanaume wanafanyaga nini?
Nataka wa kuoa
Wee ke au me?then mwaka Jana ulikuwa na 33yrs Leo 42.Usijisahau basi[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] upweke mbaya jamani mi mwenyewe natafuta tusaidiane kutafuta,vigezo vyako nimevikosa,juzi tu nimefikisha 42yrs old!![emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] ntarudi!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii ndio JF jamanwewe miaka yako vipi, 2015 ulikua na 33, 2016 ulikua na 30 na saivi umekua na 32 no wonder unatafutaga tu.
Walahi hata Mimi si nilijua ni wewe[emoji12] [emoji15] [emoji15] nkacomment buana!!now ndo nashtuka kumbe ni dume sio miss natafuta!!aaghhaa[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]naona watu wanafurika pm kwangu kwa uzi huu jamani someni vizuri
Mwenyewe nimeshangaa comment yako mkuu nikajua hujamuelewa mtoa madaWalahi hata Mimi si nilijua ni wewe[emoji12] [emoji15] [emoji15] nkacomment buana!!now ndo nashtuka kumbe ni dume sio miss natafuta!!aaghhaa[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
unataka ndoa au papuchi?Tatizo hutaki tuoane.
Sikumuelewa mkuu,mi nilivyoona jina, natafuta, si nikajua ni miss natafuta bwana!!mbio nikajua naokota dodo kwenye mpera[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Mwenyewe nimeshangaa comment yako mkuu nikajua hujamuelewa mtoa mada
aya ngoja niongee na wazaziNdoa maana nimechoka na upweke.
hata mimi natafutaSikumuelewa mkuu,mi nilivyoona jina, natafuta, si nikajua ni miss natafuta bwana!!mbio nikajua naokota dodo kwenye mpera[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
hebu nielimishe hapa hapa.Kuelimishana