Natafuta mpenzi

Natafuta mpenzi

bigboss1

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2015
Posts
319
Reaction score
195
Mimi naishi A town .
Ni binti bado single nafuta serious relationship.
sijafika 30 ila nakaribia.
natafuta mpenzi mwenye vigezo simple.
1.Awe handsome sanaa
2.Awe anafanya kazi maana hata mimi ninayo nzuri
3.Awe mkristo.
4.Awe anaishi Arusha au Moshi.
5.Awe anapenda kujali
6.Nataka awe single sitaki wezi i mean unajiibia kuwa na mimi kumbe unamke au demu nope single.
Rangi no colour.
age 31- 36 .
Karibuni if upo Arusha au Moshi
 
watakuja ila kigezo namba moja kitakuumiza coz kila mwanamke atampenda.
 
Mimi naishi A town .
Ni binti bado single nafuta serious relationship.
sijafika 30 ila nakaribia.
natafuta mpenzi mwenye vigezo simple.
1.Awe handsome sanaa
2.Awe anafanya kazi maana hata mimi ninayo nzuri
3.Awe mkristo.
4.Awe anaishi Arusha au Moshi.
5.Awe anapenda kujali
6.Nataka awe single sitaki wezi i mean unajiibia kuwa na mimi kumbe unamke au demu nope single.
Rangi no colour.
age 31- 36 .
Karibuni if upo Arusha au Moshi
Hivi bidada unataka kuolewa na mwanaume mwenye uanaume wa kutosha au waenda kuolewa wa sura yake.
Mie sikatai sawa umri ni janga kwangu,maana nyie mwapenda wanaume wenye umri mkubwa wakaty wapiga shoo za kibabe tupo.
Afuuu wapenda handsome je,

1 Unabikra yako.
2 Unachura bidada.
3 Kimo chako ni kipi.
4 Shape yako ikoje.
5 Toa tabia na madhaifu yako kama akina Inna morata,Beautiful princess, miss nimechoka na wengineo ili wakujue vzr Mabwana.

Mm ni hayo tu subiri waje mabwana wakuchukue ukale life nzury
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Handsome sanaa...
 
Mimi naishi A town .
Ni binti bado single nafuta serious relationship.
sijafika 30 ila nakaribia.
natafuta mpenzi mwenye vigezo simple.
1.Awe handsome sanaa
2.Awe anafanya kazi maana hata mimi ninayo nzuri
3.Awe mkristo.
4.Awe anaishi Arusha au Moshi.
5.Awe anapenda kujali
6.Nataka awe single sitaki wezi i mean unajiibia kuwa na mimi kumbe unamke au demu nope single.
Rangi no colour.
age 31- 36 .
Karibuni if upo Arusha au Moshi
Vigezo vimenyooka mbaya ila hicho number moja hicho.. Mwanaume akiwa hendisamu sanaaa mtakuwa mnashindana kununua vipodozi... Halafu kitandani [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]...... Ila Nakuombea sana
 
Natamani ningekuwa A town now
 
Ina maana 'midume' ya mtaani au ofisini kwenu haikuoni au sio 'mahendisamu'...?
 
Vigezo vimenyooka mbaya ila hicho number moja hicho.. Mwanaume akiwa hendisamu sanaaa mtakuwa mnashindana kununua vipodozi... Halafu kitandani [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]...... Ila Nakuombea sana
Mshana kwenye English, Kiingereza au kizungu hakuna neno "hendisamu"

Shemerah mzma lakini...
Cc: Demiss
 
Namba 2 ni habari nyingine. Huenda ambao hatujaajiriwa kupata mke ni tatizo.
 
Back
Top Bottom