Natafuta mpenzi

Hadi leo ujampata tuu??
 
Maneno uliyoyatumia yamekaa kimadharau umepewa ofa usikia mimi ni bidhaa so unapewa ofa ya sikukuu wewe tuliza ball mimi ni mtu mzima sana sihitaji mume kwanza nimesema natafuta company tu.
Kwendraaaaaa!......Frustration zako za kukaa single muda mrefu bila kupata dushe peleka badoo huko!
 
Sifa zote ulizotaja ninazo namba yangu ipo dm mtoto mzuri uje tuyajenge nipo serious
 
Nimeshakuwa kabisaa mume wangu atakuja kama yupo hapa au kokote
Mshirikishe Muumba atakupa wa kufanana na wewe,usitumie nguvu zako sawa na hiyo siri wanayoijua ni wachache sana na ina changamoto zake Kikubwa kuwa mvumilivu na mwenye subira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…