functional
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 738
- 792
duuh? kwel watu hampo serious na maisha nimeamin, hivi huyo mzee anawapa nini huko? au anawazuia kutoka nje ya nchi?Sitaki mme nataka tupeane kampani hadi niamue kuolewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duuh? kwel watu hampo serious na maisha nimeamin, hivi huyo mzee anawapa nini huko? au anawazuia kutoka nje ya nchi?Sitaki mme nataka tupeane kampani hadi niamue kuolewa
nasifa zote hapo sema nimesharudi bongo nimekaa nje kidogo vipi uko tayari tuanzishe familia?sijiuzi nataka mpenzi
Hadi leo ujampata tuu??I am looking for a person who will give me company and i want a man who is good in heart,understanding,who will love me and respecting me .
I want someone who is charming lokes jokes and love to take some new places .
I need a guy who is educated .
More than one it will be an advantage.
I want someone outside the country .
I want someone who have a time to come to see me.
I want someone who is single not married .
I want someone who will enjoy our time together knows how to love.
Special and kind.
Example kenya or uganda.
I am qute and honest loving and respect for a man.
If your serious do please contact me.
Kwendraaaaaa!......Frustration zako za kukaa single muda mrefu bila kupata dushe peleka badoo huko!Maneno uliyoyatumia yamekaa kimadharau umepewa ofa usikia mimi ni bidhaa so unapewa ofa ya sikukuu wewe tuliza ball mimi ni mtu mzima sana sihitaji mume kwanza nimesema natafuta company tu.
Walaa nipo seriousduuh? kwel watu hampo serious na maisha nimeamin, hivi huyo mzee anawapa nini huko? au anawazuia kutoka nje ya nchi?
Sitafuti mme natafuta mpenziiiMchumba au Mme au Mke hawa watu huwa hawatafutwi Hapa MUNGU huusika sio nguvu zako ,Bidhaa ndo hutafutwa sana sana ukitafuta utapata sio Mwenzo wako ni hayo mkuu
Kwano wewe ni double wewe ndio unahasira mimi walaKwendraaaaaa!......Frustration zako za kukaa single muda mrefu bila kupata dushe peleka badoo huko!
Ungekuwa serious ungekuja pmSifa zote ulizotaja ninazo namba yangu ipo dm mtoto mzuri uje tuyajenge nipo serious
Nakuja chapUngekuwa serious ungekuja pm
Aaaaaah Wa kula nae bata tu na kupotezea muda ili mkue sio?Sitafuti mme natafuta mpenziii
Nimeshakuwa kabisaa mume wangu atakuja kama yupo hapa au kokoteAaaaaah Wa kula nae bata tu na kupotezea muda ili mkue sio?
Mshirikishe Muumba atakupa wa kufanana na wewe,usitumie nguvu zako sawa na hiyo siri wanayoijua ni wachache sana na ina changamoto zake Kikubwa kuwa mvumilivu na mwenye subiraNimeshakuwa kabisaa mume wangu atakuja kama yupo hapa au kokote
Usijalii atanipa tuMshirikishe Muumba atakupa wa kufanana na wewe,usitumie nguvu zako sawa na hiyo siri wanayoijua ni wachache sana na ina changamoto zake Kikubwa kuwa mvumilivu na mwenye subira
😂😂Tabu iko pale pale
Unacheka nini huruhusiwi kucheka
Amina sanaUsijalii atanipa tu
Kumbe hata kiswahili unakijua ee?Unacheka nini huruhusiwi kucheka