Natafuta mpenzi

Natafuta mpenzi

title kiswahili yaliyomo English ndo nn sasa??
[emoji1] [emoji1] vipi ndg,umetoka kapa kama mimi? Mi nimeelewa kichwa cha habari tu huku kwingine sijui ni kiluga gani ila nahisi ni kimasai hiki
 
siku hizi bila ya picha hupati mtu...au ukimpata kama hauvutii biashara inaishia hapo
 
Dah kutokua nje ya nchi kumenikosesha mpenzi hivihivi. Naona leo zamu ya wabeba box kuopoa.
 
Back
Top Bottom