Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,550
- 1,165
Kaazi kweli kweli!!
Mimi natafuta dada na kaka wa hiari...ANYONE!!!!!?
wanajf natafuta mpenzi atakaekua mahabuba na sabuni wa roho yangu.Mimi ni mkweli,mwaminifu na si mbaguzi.ajitokeze mwanamke au mwanaume,mfupi au mrefu,mweupe au mweusi.nawasilisha
wanajf natafuta mpenzi atakaekua mahabuba na sabuni wa roho yangu.Mimi ni mkweli,mwaminifu na si mbaguzi.ajitokeze mwanamke au mwanaume,mfupi au mrefu,mweupe au mweusi.nawasilisha
Anzisha uzi wako.
Si wajitokeze tu hapa hapa kama wapo...!
Mimi nipo, lakini ni mwanaume. so naruhusiwa kutia team...
Si wajitokeze tu hapa hapa kama wapo...!
<br />Naaah...no need to rain on somebody else's parade. Just start one exclusively for you.
Sasa ulishawahi kuona kaka mwanamke jamani?!Karibu sana!
<br />
<br />
we nyani mimi naona ushampenda huyo dada sasa kapumzikeni niendelee kusaka laazizi wangu
Naaah...no need to rain on somebody else's parade. Just start one exclusively for you.
Pouwaa pouwaaa!!Nilianza kujiintroduce mapema. Coz kwenye post yako uliweka either of..thanks for!!! Nitakucheki baadaye..
Sitaki....