harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,907
To life is to suffer ndugu yangu kuna wakati hata billionea laizer kabla ajapata mawe alionekana km mpuuz fulan pale meraran anaeang"aikang"aika ambae hana leo hana keshp leo hii kapata mawe ya billion kila kitu kinawezekana bwana
Wangap hawajui lugha na wanagonga shavu kali mjin acha uzwazwa ww leta maon na sio kashfaKwa ii luga uwezi pata muanamuke muzuli.ujui kiingeleza wala kisuahili.ueleweki kabisa ndungu yagu.umesoma aulivo andika? Uwezi pata mtoto muzuli.😂😂😂😂😂😂😂😂
Sasa we sura lako hujaweka watajuaje....maana nao Sasa ivi wanavigezo vyaoHabarin wanaJamiiForums, hope mpo poa. Twende moja kwa moja on topic. Mimi ni mwanaume wa miaka 25 ninaishi Moshi Bar jijini Dar-ea-Salaam. Nimemaliza Chuo mwaka 2014, nimesoma IT, kwa sasa ninafanya kazi Posta kwenye kampuni ambayo jina nimelihifadhi.
Mpenzi ninaye mtaka awe na sifa zifuatazo:
1. Awe na makalio makubwa na figa nzuri
2. Asiwe na tumbo kubwa
3. Awe na matiti makubwa yaliyosimama na mazuri
4. Asiwe amezaa
5. Awe mkazi wa Dar-ea-Salaam
6. Awe na miaka 22 au chini
7. Awe na sura nzuri yenye kuvutia
Matusi sitaki
Unataka niweke sura langu mtandaon ili nitukanwe km anataka kuniona labda PMSasa we sura lako hujaweka watajuaje....maana nao Sasa ivi wanavigezo vyao
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]inaonekana unaogopa Sana kutukanwa Sana...Unataka niweke sura langu mtandaon ili nitukanwe km anataka kuniona labda PM
Siogopi ila matusi plus picha ni hatar waweza shangaa yamefika mtaan sasa ntakuwa mgen wa nan[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]inaonekana unaogopa Sana kutukanwa Sana...
Sijui kitoto Cha mwisho kwenu
Wangap hawajui lugha na wanagonga shavu kali mjin acha uzwazwa ww leta maon na sio kashfa
Mtego wa panya huo[emoji38][emoji38] wakubwa wameshaelewa hasa hizi nyakati za 28102020Habarin wanaJamiiForums, hope mpo poa. Twende moja kwa moja on topic. Mimi ni mwanaume wa miaka 25 ninaishi Moshi Bar jijini Dar-ea-Salaam. Nimemaliza Chuo mwaka 2014, nimesoma IT, kwa sasa ninafanya kazi Posta kwenye kampuni ambayo jina nimelihifadhi.
Mpenzi ninaye mtaka awe na sifa zifuatazo:
1. Awe na makalio makubwa na figa nzuri
2. Asiwe na tumbo kubwa
3. Awe na matiti makubwa yaliyosimama na mazuri
4. Asiwe amezaa
5. Awe mkazi wa Dar-ea-Salaam
6. Awe na miaka 22 au chini
7. Awe na sura nzuri yenye kuvutia
Matusi sitaki
hahahahahahaHuko moshi bar hakuna seremala ukamchonga.
Kuwa na subira utampata tuuHabarin wanaJamiiForums, hope mpo poa. Twende moja kwa moja on topic. Mimi ni mwanaume wa miaka 25 ninaishi Moshi Bar jijini Dar-ea-Salaam. Nimemaliza Chuo mwaka 2014, nimesoma IT, kwa sasa ninafanya kazi Posta kwenye kampuni ambayo jina nimelihifadhi.
Mpenzi ninaye mtaka awe na sifa zifuatazo:
1. Awe na makalio makubwa na figa nzuri
2. Asiwe na tumbo kubwa
3. Awe na matiti makubwa yaliyosimama na mazuri
4. Asiwe amezaa
5. Awe mkazi wa Dar-ea-Salaam
6. Awe na miaka 22 au chini
7. Awe na sura nzuri yenye kuvutia
Matusi sitaki
DuuuhKwa vigezo ivyo ata akitaka kulala hoteli ya nyota tano daily mwanaume hautajutia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sema we jamaa kigezo cha usafi umekiondoa