Natafuta mpenzi

Natafuta mpenzi

naturesolve

Member
Joined
Jul 21, 2022
Posts
18
Reaction score
21
Nina umri wa Mika 30, jinsia yangu nimvulana. Nina elimu ngazi ya diploma, naishi Dar, ni mweusi angavu.

NATAFUTA mpenzi mwenye vigezo; Awe na uelewa wa kujitambua, awe mtu wakujishughulisha ameajiriwa au amejiajiri, umri uwe Mika 24 mpaka 30 na awe mkazi wa dar au akiwa wa mkoani awee na uwezo wa kuja dar kwa mfuko wake.

Alioko teyari ANITAFUTE.
 
Nina umri wa Mika 30, jinsia yangu nimvulana. Nina elimu ngazi ya diploma, naishi Dar, ni mweusi angavu.

NATAFUTA mpenzi mwenye vigezo; Awe na uelewa wa kujitambua, awe mtu wakujishughulisha ameajiriwa au amejiajiri, umri uwe Mika 24 mpaka 30 na awe mkazi wa dar au akiwa wa mkoani awee na uwezo wa kuja dar kwa mfuko wake.

Alioko teyari ANITAFUTE.
Dude,why cauld you not contact your elders so that they can find a beautiful woman in village or somewhere else rather than yourself finding a woman on social network whom you don't know. it doesn't makes sense at all.
 
Nina umri wa Mika 30, jinsia yangu nimvulana. Nina elimu ngazi ya diploma, naishi Dar, ni mweusi angavu.

NATAFUTA mpenzi mwenye vigezo; Awe na uelewa wa kujitambua, awe mtu wakujishughulisha ameajiriwa au amejiajiri, umri uwe Mika 24 mpaka 30 na awe mkazi wa dar au akiwa wa mkoani awee na uwezo wa kuja dar kwa mfuko wake.

Alioko teyari ANITAFUTE.
Sawa mvulana
 
Unatafuta mpenzi😂😂😂. Mtu mwenye upendo wake.
Alafu akiwa nje ya dar aje na uwezo wa mfuko wake.
Kuna watu generally wanamatatizo ya Akili bila kujua.
Hivi jf ndio imekua ya watu hatari hivi? With no emotions at all😂😂😂
 
Tafutta hela wewe hao watakuja na watakuganda hadi utawakimbia sasa endelea kutafuta wanawake hahahaha kweli wewe mvulana
 
Nina umri wa Mika 30, jinsia yangu nimvulana. Nina elimu ngazi ya diploma, naishi Dar, ni mweusi angavu.

NATAFUTA mpenzi mwenye vigezo; Awe na uelewa wa kujitambua, awe mtu wakujishughulisha ameajiriwa au amejiajiri, umri uwe Mika 24 mpaka 30 na awe mkazi wa dar au akiwa wa mkoani awee na uwezo wa kuja dar kwa mfuko wake.

Alioko teyari ANITAFUTE.
Duh dotCom generation na keyboard hatari sana
 
Dude,why cauld you not contact your elders so that they can find a beautiful woman in village or somewhere else rather than yourself finding a woman on social network whom you don't know. it doesn't makes sense at all.
Refer on what he stated before....he is a boy
 
Back
Top Bottom