Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hako ka hela ka boom ndio kameshakupa kiburi unajiona na wewe unaweza kumiliki mwanamke hapa daslam..?🤣🤣Hope mko poa!
Jamani natafuta mpenzi wa kuwa nae,. Nyumbani Kanda ya ziwa ila nipo Dar kimasomo! I'm a man of 25 yrs
Maswali mengine niulize ntakujibu
Safi, Ukalale mapema mzee wangu umri wako hauruhusu..Marahaba mjukuu,vp
Kijana weka waz kanda yaziwa pia mmeanza mambo hayo ya rainbow au nimeelewa vibayaHope mko poa!
Jamani natafuta mpenzi wa kuwa nae,. Nyumbani Kanda ya ziwa ila nipo Dar kimasomo! I'm a man of 25 yrs
Maswali mengine niulize ntakujibu
Sawa BabuSawa ngoja nivute muda kidogo mjukuu
😁😁sasa hujisifii wakati unajisifiaKweny sura Niko vzr , sijisifii!
Asante kwa taarifa wahusika estakutafutaHope mko poa!
Jamani natafuta mpenzi wa kuwa nae,. Nyumbani Kanda ya ziwa ila nipo Dar kimasomo! I'm a man of 25 yrs
Maswali mengine niulize ntakujibu
Katika huo umri wako focus kwenye kujenga thamani yako na kufukizia ndoto zako, umri wa 20's ni hatari sana kuelekeza nguvu kwenye suala la kuwa na mahusiano imara ya kimapenzi.Hope mko poa!
Jamani natafuta mpenzi wa kuwa nae,. Nyumbani Kanda ya ziwa ila nipo Dar kimasomo! I'm a man of 25 yrs
Maswali mengine niulize ntakujibu
Dogo, acha kuhangaika kutafuta mpenzi. Utaishia tu kupata UTI na magonjwa mengine ya zinaa, au hata kufa kwa presha. Kwa huo umri wako, wewe piga tu mastabesheni. Na kamwe hutojutia.Hope mko poa!
Jamani natafuta mpenzi wa kuwa nae,. Nyumbani Kanda ya ziwa ila nipo Dar kimasomo! I'm a man of 25 yrs
Maswali mengine niulize ntakujibu
SawaSoma kwanza, hayo mapenzi unayoyakimbilia utakuja kutoa mlio na shule ikushinde urudi tena kwenye jukwaa kuomba ushauri.
Thanks for good advice 👍Katika huo umri wako focus kwenye kujenga thamani yako na kufukizia ndoto zako, umri wa 20's ni hatari sana kuelekeza nguvu kwenye suala la kuwa na mahusiano imara ya kimapenzi.
Love is scam my young brother. The woman you are dating now she belongs to men who are in their 30' or 40's, she doesn't belong to you.
You have to understand you and woman are not equal at all, she already winning in life more better than you, young women have men to save them cheaply but you as a man have no one to save you.
This is why as a man in your 20's your focus should never ever be on building relationship or building a woman because that woman doesn't belongs to you at all
Leave relationship by the side and prioritize on building yourself, otherwise you will regrete it in your 30's
I love you, i love you my young brother.
mhh sijakubali. HapaDogo, acha kuhangaika kutafuta mpenzi. Utaishia tu kupata UTI na magonjwa mengine ya zinaa, au hata kufa kwa presha. Kwa huo umri wako, wewe piga tu mastabesheni. Na kamwe hutojutia.
Pole sana mkuu.Kwani huyo mpenzi unayemtafuta ulimpotezea wapi?Hope mko poa!
Jamani natafuta mpenzi wa kuwa nae,. Nyumbani Kanda ya ziwa ila nipo Dar kimasomo! I'm a man of 25 yrs
Maswali mengine niulize ntakujibu
case closedUpo tayari kuvaa hivi? Karibu mpenzi.....
View attachment 3075068