Natafuta mpenzi

Natafuta mpenzi

Gendi

Member
Joined
Oct 14, 2012
Posts
34
Reaction score
2
Kijana wa kitz hapa,natafuta mwanamke awe mpenzi wangu na baadae awe mke wangu,umri wangu ni miaka 29,umri wa nimtakae ni kuanzia 18 hadi 40,nina mtoto mmoja wa miaka 7,dini yoyote mradi tuelewane tu,nipo sirious jaman alie tayari anicheck ktk allysufiani2013@yahoo.com au 0764783023!
 
Najua hapa hujawatach bado... ngoja waje kukuulizia vile vigezo vyao... kipato, elimu, kimo, urefu wa nanihii n.k...
 
Najua hapa hujawatach bado... ngoja waje kukuulizia vile vigezo vyao... kipato, elimu, kimo, urefu wa nanihii n.k...
dah mtu atakae jali hayo basi hanifai,na ndio maana nikataka kwanza tuwe wapenzi..
 
Back
Top Bottom